Home
Forum
Marketplace
About Us
Blog
Food database
Login/Register
Home
Forum
Marketplace
About Us
Blog
Food database
Menu
Forum Navigation
Forum
Activity
Forum breadcrumbs - You are here:
Foodova Forum
Foodova®: Food Tech Forum
Faida 8 za kunywa maji asubuhi
Post Reply
Post Reply: Faida 8 za kunywa maji asubuhi
<blockquote><div class="quotetitle">Quote from <a class="profile-link highlight-moderator" href="#">Omari Kitula</a> on December 9, 2024, 7:01 am</div>Kunywa maji asubuhi kuna faida nyingi kiafya. Hivyo hakikisha unakunywa glasi 1-2 za maji ya vuguvugu mara tu baada ya kuamka. Subiri dakika 30 kabla ya kusnza kula kifungua kinywa. <img src="https://i0.wp.com/chakulafasta.xyz/wp-content/uploads/asgarosforum/173/images-3.jpeg?ssl=1" alt="" /> <strong><span style="text-decoration: underline">Hizi ni baadhi ya faida za kunywa maji asubuhi;</span></strong> <em>1. Kuondoa Sumu Mwilini</em> Kunywa maji asubuhi kabla ya kula chochote husaidia kusafisha mwili kwa kuondoa sumu kupitia mkojo na jasho. <em>2. Kuchochea Mfumo wa Mmeng'enyo</em> Husaidia kuanzisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula (digestion) na kuandaa tumbo kwa ajili ya mlo wa siku. <em>3. Kuboresha Mzunguko wa Damu</em> Maji husaidia damu kuzunguka vizuri mwilini, hivyo kuboresha afya ya moyo na ubongo. <em>4. Kulainisha Ngozi</em> Husaidia kutoa sumu zinazoweza kuathiri ngozi na kufanya ngozi ionekane safi na yenye afya. <em>5. Kuimarisha Kinga ya Mwili</em> Kuongeza unyevu mwilini kunasaidia mfumo wa kinga kufanya kazi vizuri na kupambana na magonjwa. <em>6. Kupunguza Uzito</em> Kunywa maji asubuhi kunasaidia kuongeza kiwango cha uchomaji wa kalori (metabolism), hivyo kusaidia kupunguza uzito. <em>7. Kuzuia Tatizo la Kukosa Choo</em> Maji asubuhi yanasaidia kulainisha mfumo wa chakula na kuzuia matatizo kama kuvimbiwa. <em>8. Kuongeza Nguvu na Uhai</em> Kunywa maji hufanya mwili kuhisi mchangamfu, huondoa uchovu, na kuongeza nguvu ya kufanya kazi siku nzima na ndiomana tunasema <em><strong>maji ni uhai </strong></em> <blockquote>Hakikisha unakunywa maji safi na salama ili kupata faida hizi kikamilifu.</blockquote></blockquote><br>
Cancel
Login
Username or E-mail
*
Password
*
Login
Remember Me
Forgot your password?
Login with Google
error:
Content is protected !!
Insert/edit link
Close
Enter the destination URL
URL
Link Text
Open link in a new tab
Or link to existing content
Search
No search term specified. Showing recent items.
Search or use up and down arrow keys to select an item.
Cancel